• Home
  • News
  • Events
  • Document
  • Membership
  • Gallery
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
News Ticker
  • [ May 25, 2023 ] MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari News
  • [ May 19, 2023 ] Sera ya Habari itakuwa moja – Nape News
  • [ May 16, 2023 ] ‘PPP ilianzishwa kukabili mikataba mibovu’ News
  • [ May 12, 2023 ] Kalinaki, Balile kuongoza wahariri Afrika Mashariki News
  • [ May 5, 2023 ] Tz ina mazingira mazuri kulinda haki za watoto- UNICEF News
Home2023March

Month: March 2023

News

Tumemwambia Nape, tutarudi kwake – Balile

March 30, 2023 Yusuph Katimba 0

DEODATUS Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) amesema, licha ya sehemu ya mapendekezo ya wadau kutoingizwa kwenye Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari, bado yaliyomo yanahitajika. Akizungumza kwenye Kongamano la […]

News

Rais Samia anataka msiwe waoga – Nape

March 29, 2023 Yusuph Katimba 0

NAPE Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema, Rais Samia Suluhu Hassan anataka wanahabari wafanye kazi yao bila woga, upendeleo na uonevu. Akizungumza kwenye Kongamano la 12 la Kitaaluma la Jukwaa la […]

News

Kongamano la TEF kupitia Muswada Sheria ya Habari

March 27, 2023 Yusuph Katimba 0

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limepanga kujalidi Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari kwenye kongamano lake litaloanza tarehe 29 – 31 Machi 2023, mjini Morogoro. Muswada huo uliwasilishwa bungeni tarehe 10 Februari […]

News

Wadau walia na Muswada wa Habari

March 25, 2023 Yusuph Katimba 0

WADAU wa Umoja wa Haki ya Kupata Habari (CoRI) wameeleza kuwa, Muswada wa Mabadiliko ys Sheria ya Huduma za Habari uliowasilishwa bungeni tarehe 10 Februari 2023, haujabeba hata nusu ya mapendekezo ya wadau wa habari […]

News

Balozi Uholanzi amsifu rais mabadiliko Sheria ya Habari

March 24, 2023 Yusuph Katimba 0

Balozi wa Uholanzi nchini, Wiebe de Boer amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kuweka mazingira wezeshi kwa waandishi wa habari kufanya kazi kwa uhuru na weledi unaotakiwa. Balozi Boer ametoa kauli hiyo alipokutana na viongozi wa […]

Gallery

Mchakato Sheria ya Habari wamgusa Balozi wa Uholanzi

March 23, 2023 Yusuph Katimba 0

Balozi wa Uholanzi nchini, Wiebe de Boer amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kuweka mazingira wezeshi kwa waandishi wa habari kufanya kazi kwa uhuru na weledi unaotakiwa Balozi Boer ametoa kauli hiyo alipokutana na viongozi wa […]

News

Aina saba za fidia WCF

March 20, 2023 Yusuph Katimba 0

MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), unatoa aina saba ya fidia kwa wateja wake ikiwa ni pamoja na gharama kwa anayemuhudumia mgonjwa ama aliyefikwa na janga. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 20 Machi 2023 na […]

No Picture
News

Muswada wa Habari kusomwa tena Aprili – Nape

March 17, 2023 Yusuph Katimba 0

NAPE Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema, anatarajia bunge lijalo (Bunge la Aprili) litasoma Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Hudumna za Habari kwa mara ya pili. Amesema, watu wengi walitarajia […]

News

Wadau waanza kuchakata Muswada Sheria wa Habari

March 13, 2023 Yusuph Katimba 0

WADAU wa habari nchini, wameanza kukutana ili kuchakata Mapendekezo ya Muswada wa Madiliko ya Sheria ya Huduma za Habari nchini. Wakati leo tarehe 13 Machi 2023, Baraza la Habari Tanzania (MCT), likikutana na wadau wengine […]

News

Siku ya Wanawake: Rais Samia ameiinua tasnia ya habari – Ado Shaibu

March 8, 2023 Yusuph Katimba 0

ADO Shaibu, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo amesema, Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwanamke wa mfano ndani na nje ya nchi. Amesema, kila tawala inacho cha kujivunia na kwamba, katika Awamu ya […]

Posts navigation

1 2 »

tangaza nasi hapa

Tufuatilie faceook

Makala

  • MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari
    May 25, 2023 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    November 7, 2020 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    May 15, 2022 0
  • CAG Kichere: Tunafanyia kazi taarifa za wanahabari
    May 30, 2022 0
  • Waziri Mabula akutana na wahariri, aeleza mwelekeo mpya
    June 7, 2022 0

Mwandishi

  • Yusuph Katimba

    published 76 articles

  • abdimuna

    published 3 articles

  • Benjamin Machele

    published 2 articles

Habari

Mawasiliano yetu:

Zanaki Street
Plot No.2285/7
Opp CCM Office,
Mtendeni Branch
P.O.Box 75206
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 2123236
Mob: +255 755 922 037
Email: tanzaniaeditorsforum2008@gmail.com

Facebook
Twitter
Instagram
Maoni hivi karibuni
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »

Dautechnolgy LTD,Designed by: Dau Technology LTD, info@dautechnology.co.tz