• Home
  • News
  • Events
  • Document
  • Membership
  • Gallery
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
News Ticker
  • [ May 25, 2023 ] MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari News
  • [ May 19, 2023 ] Sera ya Habari itakuwa moja – Nape News
  • [ May 16, 2023 ] ‘PPP ilianzishwa kukabili mikataba mibovu’ News
  • [ May 12, 2023 ] Kalinaki, Balile kuongoza wahariri Afrika Mashariki News
  • [ May 5, 2023 ] Tz ina mazingira mazuri kulinda haki za watoto- UNICEF News
Home2023February

Month: February 2023

News

Muswada Mabadiliko ya Sheria ya Habari ‘kulainishwa’

February 20, 2023 Yusuph Katimba 0

MUSWADA wa Mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari uliowasilishwa bungeni tarehe 10 Februari 2023, utachambuliwa kwa lugha ya Kiswahili ili ueleweke zaidi. Kauli hiyo ilitolewa na Deus Kibamba, Mhadhiri wa Masuala ya Diplomasia ambaye […]

News

Serikali haitaingilia Uhuru wa Habari – Waziri Nape

February 16, 2023 Yusuph Katimba 0

NAPE Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema, serikali inakusudia vyombo vya habari vifanye kazi kwa uhuru na kwamba, haitaviingilia kwenye uhuru wao. “Serikali itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza. Itahakikisha inafanya […]

News

Serikali yapongezwa kuwasilisha Muswada Sheria ya Huduma za Habari

February 11, 2023 Yusuph Katimba 0

MWENYEKITI  wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile ameishukuru serikali kwa kuwasilisha Muswada wa Mapendekezo ya Sheria ya Huduma za Habari bungeni leo tarehe 10 Februari 2023. Akizungumza na Wanahabari katika ofisi za jukwaa […]

News

Muswada mabadiliko sheria ya habari kuwasilishwa leo

February 10, 2023 Yusuph Katimba 0

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari utawasilishwa leo tarehe 10 Februari 2023. Nape alibainisha hilo jana jijini Dodoma wakati akizungumza na […]

News

TEF, UN wakubaliana mambo matano

February 6, 2023 Yusuph Katimba 0

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) na Umoja wa Mataifa (UN), wamekubaliana utekelezwaji wa mambo matano katika safari ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (MDGs) 2030. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mkutanio wa UN na Wahariri uliofanyika tarehe […]

tangaza nasi hapa

Tufuatilie faceook

Makala

  • MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari
    May 25, 2023 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    November 7, 2020 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    May 15, 2022 0
  • CAG Kichere: Tunafanyia kazi taarifa za wanahabari
    May 30, 2022 0
  • Waziri Mabula akutana na wahariri, aeleza mwelekeo mpya
    June 7, 2022 0

Mwandishi

  • Yusuph Katimba

    published 76 articles

  • abdimuna

    published 3 articles

  • Benjamin Machele

    published 2 articles

Habari

Mawasiliano yetu:

Zanaki Street
Plot No.2285/7
Opp CCM Office,
Mtendeni Branch
P.O.Box 75206
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 2123236
Mob: +255 755 922 037
Email: tanzaniaeditorsforum2008@gmail.com

Facebook
Twitter
Instagram
Maoni hivi karibuni
February 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728  
« Jan   Mar »

Dautechnolgy LTD,Designed by: Dau Technology LTD, info@dautechnology.co.tz