• Home
  • News
  • Events
  • Document
  • Membership
  • Gallery
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
News Ticker
  • [ May 25, 2023 ] MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari News
  • [ May 19, 2023 ] Sera ya Habari itakuwa moja – Nape News
  • [ May 16, 2023 ] ‘PPP ilianzishwa kukabili mikataba mibovu’ News
  • [ May 12, 2023 ] Kalinaki, Balile kuongoza wahariri Afrika Mashariki News
  • [ May 5, 2023 ] Tz ina mazingira mazuri kulinda haki za watoto- UNICEF News
Home2022

Year: 2022

News

Wadau wa habari wateta na mbunge Jerry

November 8, 2022 Yusuph Katimba 0

SHERIA za habari nchini haziwezi kubaki kama zilivyo wakati dunia inakwenda mbele. Kauli hiyo ilitolewa na Jerry Silaa, Mbunge wa Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), tarehe 8 Novemba 2022 wakati akizungumza na uongozi wa […]

News

Wanahabari tuna nafasi ya pekee – Meena

October 22, 2022 Yusuph Katimba 0

Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nevile Meena amesema, waandishi wa habari wana wigo mpana wa kufikisha taarifa zao na kuifanya jamii ichukue hatua au ishinikize hatua zichukuliwe kulingana na kile […]

News

‘Media zijielekeze kwenye mijadala yenye tija’

October 22, 2022 Yusuph Katimba 0

VYOMBO vya habari nchini vimeshauria kujenga tabia ya kuanzisha mijadala yenye kuchochea ukuaji wa wa uchumu na sio mijadala isiyo na tija kwa nchi na wananchi. Kauli hiyo imetolewa na leo tarehe 22 jijini Dar […]

News

‘Ni muhimu wanahabari kujua sheria zinazoongoza tasnia ya habari’

October 21, 2022 Yusuph Katimba 0

Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Salim Said Salim amesema, ni muhimu kwa wanahabari wakawa na ufahamu kuhusu sheria zinazoongoza tasnia hiyo. Ametoa kauli hiyo leo tarehe 21 Oktoba 2022 wakati […]

News

Balozi Uholanzi: Uhuru wa habari ni moyo wa demokrasia

October 20, 2022 Yusuph Katimba 0

UHURU wa vyombo vya habari ni muhimu katika kukuza demokrasia ya kweli. Vyombo vya habari huru ndio msingi wa kuibua mijadala mizito, hutoa muongozo katika utungaji wa sheria na mwelekeo chanya wa taifa. Ni kauli […]

Events

Wanachama TEF wakutana kujadili kazi za taasisi yao

October 15, 2022 Yusuph Katimba 0

WANACHAMA wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), wamekutana kujadilia na kupitia kazi mbalimbali za jukwaa hilo. Mkutano huo umefanyika jijini Dare es Salaam tarehe 15 Oktoba 2022 katika Ukumbi wa Hoteli ya Peacock, ambapo zaidi […]

News

TEF yawakutanisha wanahabari na washauri wao

October 7, 2022 Yusuph Katimba 0

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), leo limeendesha semina ya siku moja kwa waandishi wa habari na washauri wa waandishi hao kwa lengo la kuongeza ubora wa habari zinazohusu Kampeni ya Utetezi wa Sheria ya Vyombo […]

News

Kuna haja ya kuendelea kupaza sauti – LHRC

September 28, 2022 Yusuph Katimba 0

Fulgence Massawe, Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amesema, wadau wa habari nchini kuna haja ya kuendelea kupaza sauti ili serikali ifanye mabadiliko stahiki. Kauli hiyo ilitolewa […]

News

Tumefika hatua nzuri – Serikali

September 20, 2022 Yusuph Katimba 0

GERSON Msigwa, Msemaji wa Serikali amesema, mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari nchini, umefika hatua nzuri. Msigwa alitoa kauli hiyo tarehe 19 Septemba 2022, alipoulizwa na mwandishi kuhusu hatua inayofikiwa baada ya kikao cha […]

News

Mwenyekiti TEF asaini kitabu cha maombolezo kifo cha Malkia Elizabeth II

September 19, 2022 Yusuph Katimba 0

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza katika Ubalozi wa Uingereza, jijini Dar es Salaam, Septemba 19, 2022. Balozi wa Uingereza nchini […]

Posts navigation

« 1 2 3 … 5 »

tangaza nasi hapa

Tufuatilie faceook

Makala

  • MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari
    May 25, 2023 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    November 7, 2020 0
  • Mkutano wa Sita wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
    May 15, 2022 0
  • CAG Kichere: Tunafanyia kazi taarifa za wanahabari
    May 30, 2022 0
  • Waziri Mabula akutana na wahariri, aeleza mwelekeo mpya
    June 7, 2022 0

Mwandishi

  • Yusuph Katimba

    published 76 articles

  • abdimuna

    published 3 articles

  • Benjamin Machele

    published 2 articles

Habari

Mawasiliano yetu:

Zanaki Street
Plot No.2285/7
Opp CCM Office,
Mtendeni Branch
P.O.Box 75206
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 2123236
Mob: +255 755 922 037
Email: tanzaniaeditorsforum2008@gmail.com

Facebook
Twitter
Instagram
Maoni hivi karibuni
June 2023
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« May    

Dautechnolgy LTD,Designed by: Dau Technology LTD, info@dautechnology.co.tz