News

Nape: Tupo tayari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, serikali ipo tayari kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari. Akizungumza na uongozi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Wadau wa Haki […]