• News

    MISA TAN yapongeza serikali kuelekea uhuru wa habari

    MWENYEKITI wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA Tanzania), Salome Kitomari amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua hatua kuelekea uhuru wa wanahabari kutekeleza majukumu yao bila vikwazo. Ametoa [...]
  • News

    Sera ya Habari itakuwa moja – Nape

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kutekelezwa katika bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2023/2024 ni kuwa na sera moja inayosimamia habari na utangazaji. Nape ametoa [...]
  • News

    ‘PPP ilianzishwa kukabili mikataba mibovu’

    KAMISHNA wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma  na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema msukumo wa kuunda taasisi hiyo ulitokana na kuwepo kwa mikataba mibovu kati ya serikali na sekta binafsi. Kafulila [...]
  • News

    Kalinaki, Balile kuongoza wahariri Afrika Mashariki

    JUMUIYA ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei 12, 2023, ambapo ataongoza kwa mwaka mmoja. Deodatus Balile, ambaye ni Mwenyekiti [...]

Habari

Sera ya Habari itakuwa moja – Nape

News

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kutekelezwa katika bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2023/2024 ni kuwa na sera moja inayosimamia habari na utangazaji. Nape ametoa […]